AWAMU ZA ULIPAJI WA ADA
Ada ya chuo unaweza kulipa yote unapoanza masomo au kwa awamu mbili au nne kulingana na uwezo wa mzazi. Mchanganuo wa ada umeoneshwa kwenye jedwari hapa chini:-
SEMISTA | MAELEZO | ADA |
SEMISTA I 495,000/= | Mwanzo wa semista ya I | 245,000/= |
Katikati ya semista ya I | 250,000/= | |
SEMISTA II 500,000/= | Mwanzo wa semista ya II | 250,000/= |
Katikati ya semista ya II | 250,000/= | |
JUMLA | 995,000/= |
6.2 GHARAMA YA MOJA KWA MOJA NA HOSTELI (DIRECT COST AND HOSTEL FEES)
Gharama za moja kwa moja zitalipwa mwanzo wa kila semista au kwa awamu mbili kama jeedwari hapa chini linavyojieleza:-
SEMISTA | MAELEZO | KIWANGO | AWAMU YA 1 |
Semista I | Mafunzo kwa vitendo (Practical fee) | 100,000/= | 205,000/= |
Udhibiti Ubora NACTVET (quality assurance fee) | 15,000/= | ||
T-shirt | 20,000/= | ||
Stationery na mitihani (Stationery & Exam fee) | 50,000/= | ||
Kitambulisho cha chuo (Identity Card) | 20,000/= | ||
Semista II | Mafunzo kwa vitendo (Practical fee) | 100,000/= | AWAMU YA 2 |
Stationery na mitihani (Stationery & Exam fee) | 50,000/= | 150,000/= | |
JUMLA | 355,000/= |
6.3 MALIPO YA ADA, HOSTELI NA GHARAMA ZA MOJA KWA MOJA
Malipo yote ya Ada, Hosteli na gharama za moja kwa moja yafanyike kwenye akaunti ya benki ya chuo yenye taarifa zifuatazo:-
Taarifa za benki ya Chuo
Benki: BENKI YA BIASHARA YA TAIFA (NATIONAL BANK OF COMMERCE -NBC)
Jina la Akaunti ya Chuo: MBEYA POLYTECHNIC COLLEGE
Namba ya Akaunti: 038174033407
“MBEYA POLYTECHNIC COLLEGE- TO LEARN IS TO CHANGE”